MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE. - News Today in World

MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE.

MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE. - Hallo World !!! News Today in World, In this article you read by title MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE., We've prepared this article well so you can read and retrieve information on it. Hopefully the contents of the post Article DAILY NEWS-HABARILEO, What we write can you understand. Okay, happy reading.


Title : MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE.
link : MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE.

news-today.world |
Lango Kuu la Kuingia Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyopo mkoani Manyara .
Mkuu wa Idara ya Utalii,Mhifadhi Theodora Aloyce akitoa maelezo kwa Maafisa Habari,Mawasiliano na Uhusino Serikalini walipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyopo mkoani Manyara kwa lengo la kutangaza Utalii wa ndani.
Baadhi ya Maafisa Habari,Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wakiwa katika gari wakati wa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kujionea vivutio mbalimbali vilivyoko katika Hifadhi hiyo wakiwemo Wanyama mbalimbali.
Miti Mikubwa ya Mibuyu ni sehemu ya Vivutio vilivyoko katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Digi Digi ni mmoja kati ya Wanyama wanaopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ambaye Maafisa Habari wa Taasisi za Serikali walipata fursa kumuona.
Mnyama Simba akiwa katika muinuko ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ili kumrahisishia kuweza kuona maeneo ya mbali.
Twiga ni miongoni mwa wanyama ambao pia walionekana kwa uzuri zaidi katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Baadhi ya Maafisa Habari wa Taasisi za Serikali wakifurahia ziara ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ikiwa ni pamoja Stori walizokuwa wakipatiwa na waongoza watalii .
Kundi la Swala wakipata malisho ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Tumbili ni miongoni mwa wanyama walioko katika Hifadhi ya Tarangire.
Maafisa Habari wa Taasisi mbalimbali za Serikali wakichukua Taswira katika eneo la Picnic ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Makundi Makubwa ya Tembo ni kivutio kikubwa zaidi katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Baada ya Ziara ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyopo mkoani Manyara ,Maafisa Habari wa Taasisi za Serikali wakachukua Taswira  na Mkuu wa Idara ya Utalii katia Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Theodora Aloyce.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.


That's an article MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE.

Fine for article MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE. This time, hopefully can benefit for you all. Well, see you in other article postings.

You are now reading the article MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE. With link address https://newstoday-ok.blogspot.com/2018/03/maafisa-habarimawasiliano-na-uhusiano.html

Subscribe to receive free email updates: