TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI - News Today in World

TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI

TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI - Hallo World !!! News Today in World, In this article you read by title TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI, We've prepared this article well so you can read and retrieve information on it. Hopefully the contents of the post Article DAILY NEWS-HABARILEO, What we write can you understand. Okay, happy reading.


Title : TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI
link : TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI

news-today.world |
Mratibu wa chama cha wasioona wilayani Kwimba Isack Manumbu akipanda mti katika zahanati ya Malemve katika kata ya Igongwa.
****************
Na Alexander Sanga,Kwimba
Uongozi wa Chama cha wasioona wilayani hapa(TLB_Kwimba) imewahimiza wadau mbali mbali kuhakikisha wanapanda miti katika maeneo yao ili kuepeka kujitokeza kwa tatizo la ukame.

Akizungumza katika zoezi la upandaji miti katika Zahanati ya Malemve kichopo kata ya Igongwa,Mratibu wa chama hicho Isack Manumbu alisema wameanza kupanda miti 300 katika zahanati hiyo ila bado chama chao kina mikakati ya kupanda miti zaidi wilayani hapo.

Kwa upande wake afisa mali asili wilayani Kwimba Joseph Swai alisema hali ya miti wilayani kwake sio nzuri kwakuwa kuna idadi kubwa ya ukataji miti kutoka kwa wakazi wa wilayani hapo.

Swai alisema kwa mwaka huo Halmashauri yao ina mikakati ya kupanda miti milioni 1,500,000/- katika kata zote 30 za wilayani hapo.

Joseph aliiomba pia serikali ipunguze bei ya gesi ili wananchi waache kukata miti kwajili ya kupata kuni.


That's an article TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI

Fine for article TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI This time, hopefully can benefit for you all. Well, see you in other article postings.

You are now reading the article TLB KWIMBA WAHIMIZA UPANDAJI MITI With link address https://newstoday-ok.blogspot.com/2017/12/tlb-kwimba-wahimiza-upandaji-miti.html

Subscribe to receive free email updates: